Ndugu habari jamaa ninawasalimia Yangu ni nzuri hali Na furahi nataka kuwambia Nilipo kwenda mbali, tamaa nilizishikilia Nikapataga zali nikapata mali akaja na mwali to give me love aye ye ye yeah Ile bandu bandu gogo Mungu kalileta dodo Toto la kigogo hana shida ndogo ndogo uyoo Kwenye mambo ya finance Hesabu akipiga ina balance oh Mrembo wangu nurse Hasipo niona mgonjwa ukakasi oh
Oh mama wanipeleka msobe msobe Mmh mwenzio oh mama Oh mama wanipeleka msobe msobe Mmh mwenzio oh mama
Mlete mlete mwali we, sisi tutampokea Wajomba na mashangazi eh, wote wanasubiria Tutalipa na mahari eh, binti tutampokea Kwa ngoma na zumari eh harusi tutawachezea Mlete mwali eh, ooh tuletee mwali eh Hao wagogo ni warembo na wazuri sana watabia Wakiimba ni nderemo sauti zao wanazipangilia Ugali nyama yao nendo na mlenda wanaupatia Hawapendi makubwa mambo wakitunzwa wanatulia Mlete mwali we eeh tuletee mwali we ah Mlete mwali eh ooh tuletee mwali eh
Oh mama, wanipeleka msobe msobe Mmh mwenzio oh mama Oh mama, wanipeleka msobe msobe, Mmh mwenzio oh mama
Nimeshamleta nishamleta, Kama pete nitamvisha niwe nae, Nataka watoto si tuzae Kwa leo na kesho na baadae, ooh! oh mama
Oh mama, wanipeleka msobe msobe, Mmh mwenzio oh mama Oh mama, wanipeleka msobe msobe, Mmh mwenzio oh mama