Lyrics: Eunice Phinah
Music: Juma Ally Ramadhan
Niliapa sitopenda mi, niwaambie eei, Nilijiweka pembezoni mwenyewe eii
Zangu zimefika arobaini mujuee yeeah
Apa ukinisearchi moyoni yupo yeyee
Anipa rahaa,tamu jinsi gani mi napagawaa
Kwa wengine sidhani nawaona wabayaa
Nikitaka kumsifu ntaalika bendi na kwayaa (Bendi na kwayaa)
Bebi yoo,bebii yoo ooh oh*4
Warohonii kwako sina choyoo
Kaa moyonii kwako niko loyal mhh
Sisikii wengine sihofii,kwa penzi lako niko free cause you make my heart complete
Anipa rahaa,tamu jinsi gani mi napagawaa
Kwa wengine sidhani nawaona wabayaa
Nikitaka kumsifu ntaalika bendi na kwayaa (Bendi na kwayaa)
Bebi yoo,bebii yoo ooh oh*