Lyrics: IDRISA SAID ABDALAH/Francis Patrick/David Joseph Makoye
Music: IDRISA SAID ABDALAH/Francis Patrick/David Joseph Makoye
Yatawika majogoo
Jua litapita angani
Mpaka litazama
Habari kwa umma dunia
Mi nimezamaa
Penzi lake sukari tamu
Tamu sana
Sijabanana
Mi niko radhi kufa
Kuliko kukukosa
Habari ya mjini mimi na wewe
We ni wangu forever
Mi ni wako forever
Habari ya mjini mimi na wewe
Weni wangu forever
Mi ni wako forever
Habari kwa umma dunia
Mi nimezama
Penzi lake sukari tamu
Tamu sana
Sijabanana, niko salama
Huyu kaniwezea
Huyu kaniwezeaaa..
Eey lala lala lala lalalaaaa
Lala lala laaa
Lala lala laaa
Eeeyh Aagh
You are so perfect you don know
Waja wameweka mgomo
They don know, mifumo
Nishakupenda wewe inatoshaaa
Et hatufiki mbali ntakuaachaa
Nipo kwako kuyaficha makucha
Haya wameumbuka
Mwaka tunauvuka
Aiyaa mkakojoe mkalalee
Habari ya mjini mimi na wewe
Weni wangu forever
Mi ni wako forever
Habari ya mjini mimi na wewe
Weni wangu forever
Mi ni wako forever
Habari kwa umma dunia
Mi nimezama
Penzi lake sukari tamu
Tamu sana
Sijabanana, niko salama
Huyu kaniwezea
Huyu kaniwezeaaa..