Bado sijafika mbudya ila nishalewa
Saa kumi na moja kwenye boat tumechelewa
Pisi ndo tumekutana nazo zimetuelewa
Upepo wa bahari tunaenjoy hali ya hewa
Tukifika tu wote tunapiga shots
Nishavaa lifejacket leo lazima nitafloat
Drinks check food check kila kitu tumesort
Mashada ya kutosha tunapaa bila passport
2 piece swimsuit kajifunga na kikoi
Less talk more action hili picha haliboi
Niko na wanangu wa kitaa im wit ma homeboi's
Circle full o' players huku huwezi kuta loverboy
No kateperry hizo stimu za kizungu
Kwa macho yake tu anaonekana ni mtundu
Ni kimodel fulan ila pia ana kishundu
Siezi kula dem wa mwana n'sije pata gundu
Im jus jokin kama analiwa ataliwa
Kama amelowa amna shida atakamuliwa
Niko site live wewe utabaki kuadisiwa
Mengine huezi sikia zitabaki siri za kisiwa
Nimemix sana vitu niko too lit
Mhh mhh
Hii kitu OG kitu legit
Mhh mhh
Life so good life so sweet
Mhh mhh
Naflow kama drizzy kwenye hii beat
Wakidiss
Waambie tu kabisa I don't give shit
Prrr prrr prrr prrr prrr prrr prrr prrr prrr prr prr prrr prrr prrr
Okay!
Nawanyea mahaters wangu cause they ain't shit
Bado sijafika mbudya ila nishalewa
Saa kumi na moja kwenye boat tumechelewa
Pisi ndo tumekutana nazo zimetuelewa
Upepo wa Bahari tunaenjoy hali ya hewa
Tu-ki-fika tu wote tunapiga shots
Nishavaa lifejacket leo lazima nitafloat
Drinks check food check kila kitu tumesort
Mashada ya kutosha tunapaa bila passport