Lyrics: Cleva Junior
Music: Cleva Junior
Lyrics:
Yaah ...!
This is Cleva Junior
Powered by chocolate swagz men
Na huu ni Muda wa kupari na wana
Aaaha
(Chorus)
Tuna go go go Tuna gonga chiazi
Tuna go go go Tuna gonga chiazi
Tuna gonga chiazi Tukidansi dansi
Tuna gonga chiazi Tukidansi dansi
(Verse-01)
Siku za kazi tunasaka madili piga madili
Kumake mahera
Wikendi tunatuliza akili tunafikili
Kuponda raaa
Tunaripuka pamba kali ng'ari ng'ari
Mifukoni Mambo shwari
Tunazama ndani ya club kali kunywa pombe kali
Kuboost akili
Ukiwekwa mziki Tuna paripari
Wanangu wa kaliua msicheze mbali
Nuksi balaa tupeni mbali
Wakati ndio huu njooni tupari
Kwa madada wakali ona viuno feni
Msijari jiachieni zungusha
Wanaume kama kawa mapanga shaa
Rukeni dundeni vunjeni
(Hata kizombi zombi we vunja tu
Aah aah
Kijoka joka we vunja tu
Kisingeri singeri we vunja tu
Au kijoti joti we shitua tu)×2
Hakuna atakae kugasi Just be free
Aaah Ni wewe tu
(Chorus)
Tuna go go go Tuna gonga chiazi
Tuna go go go Tuna gonga chiazi
Tuna gonga chiazi Tukidansi dansi
Tuna gonga chiazi Tukidansi dansi
(Verse-02)
Aisee
Bob Junior Kavurugwa
Yani sio kwa pini hili mazee
Utake usitake utaruka tu
Mzee baba mzuka utapanda tu
Hata kama mmasai mori itapanda tu
We were
Eehe
Shika kinywaji kwa furaa
Aah aah
Gonga chiazi na wenzio
Aah aah
Ni full kuponda raaa
Aah aah
Just piga mvinyo
Aah aah
Iwe bia au konyagi ni wewe tu
Kilevi au maji ni wewe tu
Jeuri ni mfuko wako
Pa pa pambana na hali yako
Kwa madada wakali ona viuno feni
Msijari jiachieni zungusha
Wanaume kama kawa mapanga shaa
Rukeni dundeni vunjeni
(Hata kizombi zombi we vunja tu
Aah aah
Kijoka joka we vunja tu
Kisingeri singeri we vunja tu
Au kijoti joti we shitua tu)×2
(Hakuna atakae kugasi Just be free
Aaah Ni weww tu)×2
(Chorus)
Tuna go go go Tuna gonga chiazi
Tuna go go go Tuna gonga chiazi
Tuna gonga chiazi Tukidansi dansi
Tuna gonga chiazi Tukidansi dansi