Walk the Talk

Music: Dany T3lo Karibu karibia into my city Huku majina hatunanga show me risiti Sure sura mbaya roho safi mikono ndo frisky Mbele hawaoni kuko misty donga nani kumbe ni me it's me
Smile bulanda tumejaa ngori except jah jah hakuna msee mholly Lazima ninge touch that ningetaja ningetamka jah jah
Mi nadeal na rappers na sai kila dealer ananisho ni rapper Na hii show itachorwa adi kwa tishoalipiga ya kwanza nai show
Never shy mbele ya ganji namna gani bado naekelea kazi Si hubishiana Si hubishana But never will you hear ati si Hu beachiana I'll marry mariwana ye hajai niacha tangu nikiwa minor Respect your elders mokoro akiona nimenyanya auniliza niekee maina
I got this fire in my chest when it's burning I can't REST Can't be normal like the REST all this acting na manamblei Najua wanitakii najua Turkey ndo yualeta kwa dany Mi ni nani ndawagasi nshawagasi nshawagasi!
Ju ya wakati naona mkasi naona mrazi Naona manzi nishamcut off Makasi Ni nasty makamasi before masti makaa mostly Mi huwa very mi huwa very mi huwaka daily makaveli
Nimejaza logs though most ni za pussy Sa narap a lot najaza catalog Nateka mwalalomi huchukia maloan Naeza baki alone ka Hu ndranya anaload Ukweli ni kwela hunibamba kwa dera Si ati I'm an addict lakini ndasema Seti io vela ka bado ujahema ka bado una hela Na unadai kujenga
Jojii anajenga si usoshi ina hela We nichokoze na hujaona my ndeng'a Io LINE we lenga I'm aware niko mwea Sitai jitetea sa mwere unalose
Uliamua kuloosen tie ju ya liquor booze Uliapa ni live and die niliona nichoose
If you don't walk the talk you can't own the mob You're turning into a foe you could have been more Ah bro broo broooo