Lyrics: Ismail Juma Mandoti/Thabiti Janati Mango/Nadia Mukami Music: Ismail Juma Mandoti/Thabiti Janati Mango/Nadia Mukami VERSE 1: NADIA MUKAMI Yake nyama bila mfupa mie nameza Akinipa sita sita mie ntaweza Akipandisha na mori nalegeza Haya mapenzi Kayumba umekoleza Chuchumaa unibonde unipe moyo Uniteke mimi Toto la Nairobi kaja na Makonde waone choyo Insta tuwakomeshe Na yetu kiki Hata akifumania powa tu(powa tu) Hata nikule fare Powa tu (powa tu) Mi nang'ang'ania Powa tu (powa tu) Ndo nishajifia Powa tu (Powa tu) Chuma kwa chuma namwaga cheche(powa tu Mwenzenu napewa weka tu weke (powa tu Nikimuona napata kidete (Powa tu) uooo uooo uoooo (Powa tu) CHORUS Natamani nikatongoze mara ya pili apo vipi (Bomba Bomba hio Anitilie limbwata akologe akili apo vipi (Bomba Bomba hio) Apo vip (Bomba Bomba hio) Ipo vip (Bomba Bomba hio) ebwana vip (Bomba Bomba hio) IPO vip (Bomba Bomba hio VERSE 2 sherii Baby mama sheriioo anipa kazi moto Mwinyi kazioo Ndani joto sitaki feni ooooh Aninogesha na vyake vilio Mapenzi hayana nunda Uchebe kaowa Igunga (uchebe kauowa Igunga) Penzi pepo la kimbunga likichanganywa na Ndumba.,,,, Hata nikimfumania powa tu(powa tu) Waseme nina mu-under fear Powa tu (powa tu) Mi nang'ang'ania Powa tu (powa tu) Ndo nishajifia Powa tu (Powa tu)
Chuma kwa chuma namwaga cheche(powa tu Mwenzenu napewa weka tu weke (powa tu Nikimuona napata kithethe (Powa tu) uooo uooo uoooo (Powa tu) CHORUS natamani nikatongoze mara ya pili apo vipi (Bomba Bomba hio Anitilie libwata akologe akili apo vipi (Bomba Bomba hio) Apo vip (Bomba Bomba hio) Ipo vip (Bomba Bomba hio) ebwana vip (Bomba Bomba hio) ipo vipi (Bomba Bomba hio )