Lyrics: Brandon Alphajiri
Music: Brandon Alphajiri
Hello baby (Yeah)Do you remember nlipokuona first time
Nlikua sijielewi eeeiiii everytime nakufikiria na die
Ah hapo nyuma unapo itawanya wanafaham we ndio dawa
Nimezama kwa mapenzi umenichanganyaa nahisi na mabawa
I hate when i miss you aaah
Ill call you when i miss you aaah
Nakuahidi ill never leave your world ill call you when i miss you aah
Nahisi kiu yaani thirst my baby kwa penzi lako first class my baby
You will always come first my baby penzi lako first class my baby
Aaa aaaaah aaaah baby nakuihataji nakuihitaji nikuwateko my baby babe nakuhitaji nakuihitaji nakuitaji daily *2