Lyrics: Mluo
Music: Mluo/Mluo Kenya
(.......)
( Eh Manzee naskia njaaa-mluo laughs)
Akianani naskia njaa njaa njaa njaa njaa njaa njaa
Akianani naskia njaa njaa njaa njaa njaa njaa njaa
Chapo NNE na NDENGU omera what's up
Chapo NNE na NDENGU walai naskia njaa
Njaa njaa njaa njaa miraa miraa omera what's up
Maisha ya comrade food ya Leo manzee ulikula Jana
Pesa zako Buda sasa ulisha tumia sana
Huezi dedi kula supper na utatotesheka bana
Kevo hapendangi chakula ana penda tu wasichana
Chapo dengu joh pakuwa
Ni wewe Ndio jua
Fanyia hio food vile ulifanyia mama fua
Lawama joh badae basi ikuwe vile itakuwa
(Lawama joh badae basi ikuwe vile itakuwa)
Anakula for the cause
Anakula then adoz
Anakula Ngoja pause
Tumbo Jo hazfanani
Huyu manzi aki anani
She's finishing up my money
Siezi ishi na amani
Akianani naskia njaa njaa njaa njaa njaa njaa njaa
Akianani naskia njaa njaa njaa njaa njaa njaa njaa
Chapo NNE na NDENGU omera what's up
Chapo NNE na NDENGU walai naskia njaa
Njaa njaa njaa njaa miraa miraa omera what's up
Irio shia dhufu aaah ma shiena shama
Twebusy tukirie na akina Dama
Manoria guii na irio shia maguta
(SPEECH)
DENGU ikuwe na waru
Tuki skizanga tu saru
Yani saru wa ma nyaru
Na vijana barubaru
Akianani naskia njaa njaa njaa njaa njaa njaa njaa
Akianani naskia njaa njaa njaa njaa njaa njaa njaa
Chapo NNE na NDENGU omera what's up
Chapo NNE na NDENGU walai naskia njaa
Njaa njaa njaa njaa miraa miraa omera what's up.