Lyrics: Baraka Shujaa/Malik Said Changawa Music: Pablo Fernandez Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba
Njoo unipe ma lovy nami nikupe ma lovy Njoo unipende nikupende wale wenye wivu wakajinyonge mama Njoo unipe ma lovy nami nikupe ma lovy Njoo unipende nikupende wale wenye wivu wakajinyonge mama Njoo unipe ma lovy nami nikupe ma lovy Njoo unipende nikupende wale wenye wivu wakajinyonge mama Njoo unipe ma lovy nami nikupe ma lovy Njoo unipende nikupende wale wenye wivu wakajinyonge mama Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmmmh ona baby nina noma Njoo unipe dozi baby naona nitapona Eeeihh baby huna noma Twende kiwandani baby gettoh letu Roma Eeih mimi sina ngori yo Tupigane kwenye jiko hadi corridor Moto utapokea hakuna story more Mikoko hatari mpaka useme no Ooh we ni crazy dadaa Unanipagawisha tukizima hio taa Kusema ukweli baby we umenikamata/ Juu nikiwa nawe najikuta star Hakuna tofauti ya wewe na mi Umenifanya skuizi mi niitwe Daddy Soon watoto wetu watakuita Mommy Kweli umeniteka girl I’m your army tena sihisi ni maajabu kukupata wee naona kaa ni thawabu nibusu mdomoni mpaka shavu nataka kubandua ki pimp kavu kavu tena sihisi ni maajabu kukupata wee naona kaa ni thawabu nibusu mdomoni mpaka shavu nataka kubandua ki pimp kavu kavu Hatha kala safari ya Bamba Ni machero machero Hatha kala safari ya Bamba ni machero machero Ni radhi nikugwire mukono. Ni vine na uwe usibaki hakeyo Ni radhi nikugwire mukono nivine na uwe usibaki hakeyo Hatha kala safari ya Bamba Ni machero machero Hatha kala safari ya Bamba ni machero machero Ni radhi nikugwire mukono. Ni vine na uwe usibaki hakeyo Ni radhi nikugwire mukono nivine na uwe usibaki hakeyo Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Njoo unipe ma lovy nami nikupe ma lovy Njoo unipende nikupende wale wenye wivu wakajinyonge mama Njoo unipe ma lovy nami nikupe ma lovy Njoo unipende nikupende wale wenye wivu wakajinyonge mama Njoo unipe ma lovy nami nikupe ma lovy Njoo unipende nikupende wale wenye wivu wakajinyonge mama Njoo unipe ma lovy nami nikupe ma lovy Njoo unipende nikupende wale wenye wivu wakajinyonge mama Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba Mmh mmh m’Baba m’Baba