Nikikupata

Lyrics: Adam Erick Music: Adam Erick Mmh kama nikikupataa niwe nawe muda wote tena nikikupata
Mdomo unawaza swagg na madini na, Nkujaze maneno 100 dk90 na, Uku nikimuwaza ex bado na feellings nae Ni juzi tumeachana mapenzi ya mjini daah
Uku nikijisemea nahisi tunamatch Nahisi tunaendana na nahisi na nafasi Ya kukonga moyo wako nahisi una wasi Labda mi ni player na kwa hisia zako hujakosea
Mana fikra ni nyingi nipige nikuache kwa mataa Hisia zako zinakudanganya kua nafaa Dakika Masaa Kadri yanavozidi Ndo yata determine kua napita au nakaa
CHORUS
Kama nikikupata (kama kama kama) niwe nawe muda wote Tena nikikupata niishi na wewe muda wote Aaah aaaah
Laa laa laa laa laaa laaaa (Tuimbe wote Mama) Laa laa laa laa laaa laaaa (Nakuskiliza like) Laa laa laa laa laaa laaaa (Sweet Melodies) Laa laa (Nataka kukuskia)
Laa laa laa laa laaa laaaa (Tuimbe wote Mama) Laa laa laa laa laaa laaaa (Melodies) Laa laa laa laa laaa laaaa (Aaha Aaha) Laa laaa
VERSE 2:
Ninachokiwaza kwenye medula Ndio unauzuri wa sura Attitude Natural Muda wote unafuraa Sijali ka wengine wanakuona mkali ama regular Swali ni moja je uko nyuma ni vipi natural
Kila muda ni maswali no majibu Hisia zinagongana kujiuliza alright Ka nkupate now Nipe moyo wako now
CHORUS
Kama nikikupata (kama kama kama) niwe nawe muda wote Tena nikikupata niishi na wewe muda wote Aaah aaaah
Laa laa laa laa laaa laaaa (Tuimbe wote Mama) Laa laa laa laa laaa laaaa (Nakuskiliza like) Laa laa laa laa laaa laaaa (Sweet Melodies) Laa laa (Nataka kukuskia)
Laa laa laa laa laaa laaaa (Tuimbe wote Mama) Laa laa laa laa laaa laaaa (Melodies) Laa laa laa laa laaa laaaa (Aaha Aaha) Laa laaa