Music: Salfa Music
Mmmh
Asubuhi imefikakumekucha
Naona basi zishapita lakini ngoja
Hi keki lazma ntaonja
Tangu nikutazame
Zako picha nzichorage
Kuta nzionage,vitabu pia
Wakasema nimeangukia
Ni kweli sijawai jutia
Penzi linavutiaa
Kila angle ntaweza
Kwako ndio nawekeza
Ulichotaka nimeagiza
Kila angle ntaweza
Kwako ndio nawekezaulichotaka
Nimeagiza
Zangu ni zake
Na ikizima tuwashe
Usiogope watuwache
Sa zingine mengi ni machache
Noo we
Zangu ni zake,na ikizima tuwashe
Usiogope watuwache
Sa zingine mengi ni machache
Noo
Wo wo wo wo woo