Lyrics: Ibraah
Music: Ibraah
Aah Chinga
啊中国
Tanzania yeeeh Tanzania leeeeh Tanzania leeeh Tanzania yeeeh
坦桑尼亚
Alianza Nyerere baba akaijenga taifa leetu
他开创了尼雷尔的父亲建立了国家
akafuata Mwinyi,Mkapa..wakatupenda viongozi...weetu
紧随Mwinyi、Mkapa之后。。这让我们找到了领导者。。。weetu
Naye baba Kikwete hakubweteka bwete alidumishaaa sana amanii
基奎特的父亲并没有那么平静地打扰一个白人女孩
Kamleta John Pombe magufuli ....Mungu akamchukua angali twamtamani
约翰·庞贝来了。。上帝带走了我们想要的空气
Sasa akatupa mamaa mamaa naye tunaimani na yeye
所以她扔了她妈妈,我们相信她
Uongozi wake salama salaaaama
他的领导是安全的。
Na tunampenda yeeeye........
我们爱爱爱。。。
Tanzania nchi yangu Tanzania naipenda Tanzania Tanzania .......ninayo furaha ya kuzaliwa Tanzania
坦桑尼亚,我在坦桑尼亚的国家爱坦桑尼亚。。。我很高兴出生在坦桑尼亚
Tanzania nchi yangu Tanzania naipenda Tanzania
坦桑尼亚我的国家坦桑尼亚爱坦桑尼亚
Tanzania ........ninayo furaha ya kuzaliwa Tanzania
坦桑尼亚。。。我很高兴出生在坦桑尼亚
(Tunaipenda Tanzania) aaaaaaaah
(坦桑尼亚图奈彭达)aaaaaaah
nchi yenye amani yangu Tanzania naiyona
坦桑尼亚的一个和平国家
aaaaaaaaaah
啊啊啊啊
Tanzania oooh Tanzania ooooh maama
坦桑尼亚哦坦桑尼亚哦哦哦哦
Tunamshukuru mungu .....bara na visiwani tuna amani
我们感谢上帝。。。道路和岛屿是和平的
Na leo twasherekea Uhuru wa miaka sitini ya Tanzania
今天,我们回到坦桑尼亚独立60年
ati raaaaha
搜索
nchi yenye amaaani haina malumbano(Tanzaniaaa)
nchi yenye amaaani haina malumbano(坦桑尼亚)
Miaka ya tisini hadi leo twadumisha muungano wa Tanzania
直到今天的第十九年,我们估计坦桑尼亚的联盟
Tanzania nchi yaaangu......Tanzania naipenda
坦桑尼亚我的国家。。。坦桑尼亚我爱
Tanzania Tanzania nakupenda Tanzania
坦桑尼亚我爱坦桑尼亚
Najivunia kuwa mtanzania
我为自己是坦桑尼亚人而自豪
aaaaaaaaaaaaaaaaaah Tanzania eeeeeeh
啊啊啊啊坦桑尼亚啊啊
Tanzania Tanzania
坦桑尼亚