Ukaniumiza (Remix)

Lyrics: Haitham Ghazal Seif Music: Haitham Ghazal Seif Ukaniumiza Remix VERSE 1 DAYOO Kwanza nianze nikusifie ooh baby we oh baby we Na ulivyo sawa kama umejiumba mwenyewe Umewazidi wenyewe Kwanza hotoki bila sababu (ayaayaaa) Unawapa tabu, wanapenda kukuona (ayaayaaa) Wanapenda kukuona Penzi ooh penzi kipindi kipo hewani radio Siwezi ooh siwezi kuki kosakosa
Warida Waridadi ushanipa mi midadi Penzi ngurumo ya radi Panapo Kosa basi ni judge Maana mlenda wake magadi Naogopa kutapa kama mfa maji
Basi Usije ukaniumiza (ukaniumiza) Ukaja nawe danganyika (danganyika) Basi Usije ukaniumiza ahh (ukaniumiza) Ukaja nawe danganyika (danganyika)
VERSE 2 LODY MUSIC Nakiri kwenye moyo we pekee ndio upo ndani Na kama kuna matatizo nielekeze hatushindani Si wanasema penzi jela niko radhi uniweke ndani Usije ukanipa likizo kisa maneno ya majirani Najua ulishatendwa huko nyuma usikumbushe nitalia Kwangu utapata mapenzi sijasomea ubondia Mwenzako sipendi kuona ukinuna na ndio maana nakutania Kwangu mwendo wa makange sikulishi nguna bamia Mmmh mmh mmh
Warida Waridadi ushanipa mi midadi Penzi ngurumo ya radi Panapo Kosa basi ni judge Maana mlenda wake magadi Naogopa kutapa kama mfa maji
Basi Usije ukaniumiza (ukaniumiza) Ukaja nawe danganyika (danganyika) Basi Usije ukaniumiza ahh (ukaniumiza) Ukaja nawe danganyika (danganyika)