Music: Kenneth Muya/Wachira Gatama/Mordecai"Dex"Mwini/Benson Mutua
Lyrics: Mordecai"Dex"Mwini/Kenneth Muya/Wachira Gatama
H_ART THE BAND - MASHEESHA FT. BENSOUL.
INTRO.
So we are,
H_art the Band
H underscore A R T the Band Hahaha
And the big man himself Bensoul 254
And Cedo hahaha
VERSE 1.
Msupa wangu anataka Masheesha
Na kwa mfuko pesa zangu zimeisha
Na yule waiter ananitisha
Ati mabouncer atawaita
Na huyu dame bado anaitisha
Na mi nashindwa sasa vile nitazusha
Tulipatana juzi kwenye Insta-gram
Na mi sitaki choma picha
PRE-CHORUS.
Itakua ngori, skiza story
Wacha kucheka hii ni ngori
Nilimuacha bila sorry
CHORUS.
Na Ukicheza utapatana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Utapatana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Utapatana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Patana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
VERSE 2.
Kwenye profile mimi ni lawyer
Kizungu tamu kama ile ya Lumumba
Lakini ukweli mimi ni hawker
Nina thao mbili manze leo kulithoka
Makanjo walinishika
Hata ni bahati stenje bado sijafika
Na huyu dem bado zake hazijashika
Mzinga tatu sasa zimekatika
PRE-CHORUS.
Itakua ngori, skiza story
Wacha kucheka hii ni ngori
Nilimuacha bila sorry
CHORUS.
Na Ukicheza utapatana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Utapatana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Utapatana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Patana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
BRIDGE.
Sasa nawaza vile nitaenda choo
Nitorokee huko nyuma backdoor
Akinisaka asinipate ng'o
Akiuliza aambiwe nimego
Lakini vile ni kuchomoka
Yule waiter akaniona
Na hio bill akaidrop
Na kwa mfuko mimi sina hata bob
PRE-CHORUS.
Itakua ngori, skiza story
Wacha kucheka hii ni ngori
Nilimuacha bila sorry
CHORUS.
Na Ukicheza utapatana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Utapatana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Utapatana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Patana naye, patana naye, patana na yeye, (Dame wa Masheesha)
Written by : H_ART THE BAND, BENSON "BENSOUL" MUTUA