Music: Elijah Omolo
Akidai hanidai anacap
Huwezi ficha
White ukishajiweka map
Nilimpata malap
Nikichora hizi rap
Akamuja kama Uber
Na sisemi chapchap
Niko ease
Leta hiyo till
Paybill nifulize
Kuja tu tuchill
Si lazima unipulize
Antaka twende date
Ya ma_wine na ma_grape
Cocktails
Oxtail alafu mwisho ni mandize
Shawrry got me in a jam
Get it how I live
Yeah I get it while a can
Ni m_fly kama dove
She the bomb, Molotov
Big shout out to Aye Novv
This was never in the plan
Niko up bila drama
Zungusha hiyo kiuno, ukitaka piga sama
Hatutaandamana ka nlikupata jana
Huskii siwezi dunda klabu imejaa wamama
Akidai hanidai anacap
Huwezi ficha white ukishajiweka map
Nilimpata malap, nikichora hizi rap
Akamuja kama Uber, na sisemi chapchap
Akidai hanidai anadanganya
Na ka ni manzi yako, we jua nmekunyang'anya
Sipendangi madranya hupenda kujifanya
Wa kubebwa abebwe
Me husonga kama nganya
Ushai date mmama, zii
Unampeleka coffee date na bado unatii
Huskii me niko free, nakuanga na bidii
Tupange na alphabet, bado me ndiye G
Kwa lasagna
Silent, close to the "n", we ni learner
High end, bado me huzunguka kama karma
By then, nakuanga nimelima toka sun up to sundown, son of the soil, me ni farmer
Ananiuliza "Ssadi, slim nigga, utawezana?"
We si unianikie uone kila nitafanya
Sichukuangi ma_number, we tumalizane hapa
Msema kesho ni mwongo
Na ni worse kuliko jana
Bien-sรปr, najua nyi mmezoea Bien ule Baraza
Obscur, c'est l'artiste mwenye hatajitangaza
One two, mic check, salut
Nlianza na genge, hii ni Arbantone ya Kifaransa
Wacha niwashow siku ya kwanza tulilink
Woke up in the kitchen
Simu nkaipata kwa sink
Nkauliza form ni which
Witch hunter na matick
Ni mchezaji kwenye pitch
Hupenda kugwara winch
Nilimwokota Mint, pale Sato
Coastline after kudishi
Pale beans na machapo
What's fine? Ebu kiche
Mali clean Ikishamezeshwa gin
Close line
Alnipiga hiyo tuki tapo hapo
Ni vitu nmezoea
Hadi uniletee kikalamu stachorea
Si miracle ya
Dea na ni truth bila dare
We ka hapo ukijua
Wa kupea atakupea
Akidai hanidai anacap
Huwezi ficha
White ukishajiweka map
Nilimpata malap
Nikichora hizi rap
Akamuja kama Uber
Na sisemi chapchap
Akidai hanidai anadanganya
Na ka ni manzi yako
We jua nmekunyang'anya
Sipendangi madranya
Hupenda kujifanya
Wa kubebwa abebwe
Me husonga kama nganya