Nikupe Nini

Lyrics: Cleva Junior Music: Cleva Junior Lyrics:
(Verse-01) Kweli mi nakupenda(Iii mi sitaki)
Wanifanya nakonda(Usini laghai)
Kubali uwe wangu(Mmh mi sipendi )
Unautesa moyo wangu(Mimi bado mwanafunzi)
Aaah Nifanye njni ili unielewe Nikupe nini ili niwe na wewe Utacho taka nitakununulia Kubalj basi(Iiiih )
Chips kuku bata utakula Tutakwenda Takupa mikwanja Umekubali(Akaah Usiniharibie masomo yangu mie)
(Chorus) (Nifanye nini ili uwe na mie Nikupe nini unikubalie
Gari je(Iiiih)
Nyumba je(Iiiihh)
Jamaaani)×2
(Verse-02) Nini unaogopa Mbona unasitasita Kama ukisema yes Kwangu itakua freesh Nita ringa ringa ringa mimi Ringa ringa
Nitahisi napaa ile very far Nitajawa na furaa full raa
If you give me chance I will love you more I wanna not let you go If you come with me I will handle you Baby I wanna handle uou
(Chorus) (Nifanye nini ili uwe na mie Nikupe nini unikubalie
Gari je(Iiiih)
Nyumba je(Iiiihh)
Jamaaani)×2
(Verse-03) Daima(Abee) Pliizi nielewe Kaliua to mafia Bendera ipepee(mmmh!) Mi sio fataki nikupe mishikaki Nikutumie nikuchezee Nikuchoke nikubwage
Chips kuku bata utakula Tutakwenda viwanja takupa mikwanja
Umekubaaali(Akaah usiniharibie ndoto zangu mie)
Hey Babygal Sa we nini unatakaga Please we tu semaga Hata nikiwa sina nitatafutaga
Kuliko ukinidiss Noma noma sana Kwa ninavyo ku feel Noma Noma sana
(Chorus) (Nifanye nini ili uwe na mie Nikupe nini unikubalie
Gari je(Iiiih)
Nyumba je(Iiiihh)
Jamaaani)×2