Lyrics: IDRISA SAID ABDALAH/Francis Patrick/David Joseph Makoye Music: IDRISA SAID ABDALAH/Francis Patrick/David Joseph Makoye Weee Acha niseme yale yalofanya niwe nawe Nasema leo We eweee Ulinifanya mfalme Ukanipa moyo nitawalee Nasema leoo
Naa.. We ni langu fungu amenipa maulana Aah nana naaa Naa.. Atuepushe na majungu Ya binadamu maana Ni mengi sanaaa aaagh!
ALOOH ALOOH ALOOH itakuaje nkikukosaa Moyoni mwangu nshakuweka Na nana aaagh! ALOOH ALOOH ALOOH itakuaje nkikukosaa Moyoni mwangu nshakuweka Na nana aaagh!
Nimeamini raha ya upendo Ikipotea huwa karaha Na we ndo nguzo yang ya upendo Ukiondoka ntaanguka Siko tayar kulivunja pendo lisilozibika Na moyo utatoboka We ukija kusepa
Naa.. We ni langu fungu amenipa maulana Aah nana naaa Naa.. Atuepushe na majungu Ya binadamu maana Ni mengi sanaaa aaagh!
ALOOH ALOOH ALOOH itakuaje nkikukosaa Moyoni mwangu nshakuweka Na nana aaagh! ALOOH ALOOH ALOOH itakuaje nkikukosaa Moyoni mwangu nshakuweka Na nana aaagh!