Lyrics: Israel Mbonyi
Music: Israel Mbonyi
Verse:
Kwa Sasa ya dunia
kwangu Ni kama yameangikwa
Yaliyokuwa faida
nayahesabu kama hasara
Sikiliza dunia Ujue kwamba mimi si wako.
Chorus:
Nimehesabiwa haki
kwa damu yake mutetezi
Jina langu Limeandikwa,
kwenye kitabu cha uzima
Sikiliza dunia ,
ujuwe kwamba mimi si wako
Verse:
Sasa maumivu Hayanitishi
Nitayasahau kwa Yesu
Haijadhihilika nitakavyokuwa
Tutafanana akidhihilika
Éwé mbingu Yakili Haya maneno
Ayiweeeee, Kweli dunia Mi si wako