Mabadiliko

Music: Marcus Jerome Rwelamira Najicheki kwenye kioo na-o-na mabadiliko Nawawashia moto wanadhani me ni jiko wanadhani niko huko kumbe huko mimi siko Nimekuja kivingine nimebadirisha mzigo Kabla sijauza roho yangu bora niuze ata figo Natembea na cha moto siingii kwenye ulingo Ikishindikana legal basi itafanyika illegal Deliveries kibao nazidi kutanua wigo
Toka chini ya roho yangu nawachukia tigo
Sjachagua aya maisha yamenichagua mimi Walidhani ni mwingine hawakuamini kua ni mimi Nimeswitch muonekano nishauga umaskini Nimepindua matokea kwene dakika ya tisini Na mtazamo wa tofauti siyumbishwi na madem Kabla sijamwitaji dem kwanza naitaj frame nivokua mnyonge Sikulaumu mtu nilijiblame walikua n'chukulia poa walikua wamenicrame Mazingira mapya kweli hii ni level nyingine maneno yao hayawezi fanya mimi nisile Nakaa kimya sio kwamba sina cha kusema Nawaona nawajua wasiontakia mema Najitajitahidi n'siwe msela mwenye story nyingi Kila mtu anaforce anavojua aingie kingi mashindano ya wakubwa hii ni bigleague Nikiitwa kwenye show n'taka 6 figs!!
Najicheki kwenye kioo na-o-na mabadiriko Nawawashia moto wanadhani me ni jiko wanadhani niko huko kumbe huko mimi siko Nimekuja kivingine nimebadirisha mzigo Kabla sijauza roho yangu bora niuze ata figo Natembea na cha moto siingii kwenye ulingo Ikishindikana legal basi itafanyika illegal Deliveries kibao nazidi kutanua wigo
Namsumbua starring me ndo jambazi kuu Nanunua na kuuza naongeza cha juuu Me mfanyabiasha ndani ya tie n suit Mama alitoa chozi alivosikia graduuu Nimepiga hatua kubwa itakua ni mguu Kila wanaponiona wanasema duh wakiniona wanaishia tu kusema duh ahhh ahh ahhh kumbe nyie mnataka hivi ahhh ahh ahhh sipo kwenye group nimeleav kaz kaz piga kazi kama naitwa steve bora wawe vipofu wasinione naachieve Siwezi sahua ulichofanya ila nshakuforgive ukiwa broke unachekesha kama datgirlviv nilikua natoa so sishangai nikireceive Kazi na dawa napambana kutuliza maumiv nilijua ntablow muda wote n'kua bomb mazingiria yalinipush sikua na budi kupeform
Najicheki kwenye kioo na-o-na mabadiriko Nawawashia moto wanadhani me ni jiko wanadhani niko huko kumbe huko mimi siko Nimekuja kivingine nimebadirisha mzigo Kabla sijauza roho yangu bora niuze ata figo Natembea na cha moto siingii kwenye ulingo Ikishindikana legal basi itafanyika illegal Deliveries kibao nazidi kutanua wigo