Lyrics: Levi Dee
Music: Levi Dee
mapenzi naogopa naogopa sana
Maumivu nahofia nahofia maana
Sijawahii fikiria tajipata bwana
Ona vile umeumbikaaaaaaaaa.
I need a therapist coz I'm addicted to you
Umetokea tu umejuaje nina kutuu kutuu
Kwani umetumwa ona vile umepiga lukuu lukuu
Mimi sitaki weh wachaa....
Lakini mapenzi Yana washa.
Mbona umekuja Sasa...
Tena umekuja haraka..
Ona mapenzi yananoga
Kwangu umekwama unafanya ninanona
You are in control wewe ndie mwenye Honda
Dereva wa mapenzi Fanya vitu ninangoja
Unakaa fiti kuku Wacha baby tricky
Nikikosa Dishi mpenzi wewe skuma wiki
Mimi sikufichi akili umeifanya chizi
You make me wonder ama wewe ndiwe jini ni wewewewew
Mimi sitoki eeh hapa
Kwamana mapenzi yameni nasa.