Mambo Bado

Lyrics: Goodluck Gozbert/Timothy Boikwa Music: Goodluck Gozbert/Timothy Boikwa It’s a good morning Siku Poa Kule niliko Mungu Katenda It’s a Better Day Siku sawa Mungu wangu Amenikumbuka Hivi ni nani angeju (Angejua), Mimi Ningeku (Ningekuwa) Nani Angeo (Angeona) Yale Mungu Angete (Angetenda)
Vile walijua mimi Nimemalizna na Mungu (Mambo Bado) Hakuchoka Alinyamaza Tu (Na Bado) Nilipigia marafiki sana,meseji kwa sana,Hangaika sana na Sikujibiwa Nikaomba sana,Walicheka sana,Ila Leo Bwana Amenikumbuka Nashukuru,Shukuru Haukuzima Moyo,Kwenye Mapito Nilipona Bado Nimesamehe Maadui Zangu Sasa najua Kwenye Kupata pia kukosa Bado Mungu ni Mungu Tena Najua Kila Mshindi ana pambano ni lazima Ashinde
Na Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo Bado) Hakuchoka Alinyamaza Tu (Na Bado) Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu Wako (Mambo Bado) Hajachoka Amenyamaza Tu (Na Bado) Na Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu Wee (Mambo Bado) Hajakuacha Amenyamaza Tu (Na Bado) Na Wale wanajua wewe umemalizana na Mungu (Mambo Bado) Bado Bado Bado Bado (Na Bado) Ukitembelewa dhiki watakukataa,Si upatane na Mungu awakishe Taa Na sio Mabest,Ma boss,Watu wana feki Kwenye Cash Forget Watu Sio Watu Si Ma Best Ma Boss Watu wana feki Kwenye Cash Forget Watu Sio Watu, Si Ma Best