Lyrics: Ivan Stephane Mahinyila
Music: Salim Ali
Hata kama
Nikisema nikupende (nikupende)
Utanitesa wewe
Hata kama
Nikisema nikupe wangu moyo
Utanitesa wewe
Kila kitu nikakwenda na muda baby
Ukweli huja mara chache
Haya sio mapenzi bali niutapeli
Ukanifanya mimi nidate
Ushanitesa hata nikiongea nawe unasepa baby
Usiku nakesha nimechoka best we break up baby
Heee
Haya mapenzi kilasiku moyo unauma
Haae
Umevunja tenzi ahadi zote zimebuma
Heee
Haya mapenzi kilasiku moyo unauma
Haae
Umevunja tenzi ahadi zote zimebuma
Yani tatizo moyo unauma
Itafika mahali nitasimama
Itafika mahali nitasimama
Itafika mahali nitasimama
Yani tatizo moyo unauma
Itafika mahari nitasimama
Itafika mahari nitasimama
Itafika mahari nitasimama
Nilishakupa moyo mwanzo ukauchezea chezea
kwa unadhifu wa moyo wangu ukaniongopea ongopea
Omotola baby aaaheeeeeeeeeee ha
Shame had to end aaaheeeeeeeeeee
Sometimes when i check check her
Because wanna make up we brake up
Sometimes when i check
We brake up baby alelele
Heee
Haya mapenzi kilasiku moyo unauma
Haae
Umevunja tenzi ahadi zote zimebuma
Heee
Haya mapenzi kilasiku moyo unauma
Haae
Umevunja tenzi ahadi zote zimebuma
Yani tatizo moyo unauma
Itafika mahali nitasimama
Itafika mahali nitasimama
Itafika mahali nitasimama
Yani tatizo moyo unauma
Itafika mahari nitasimama
Itafika mahari nitasimama
Itafika mahari nitasimama
Heee
Haae