Ingekuwaje

Music: Adamu Salumu Mshamu/Hassani Nassoro Mohamed #INTRO Sunny voice Adasco mtu mbaya
#VERSE Etii ingekuwaje maisha bila mapenzi nawaza ingekuwaje(Nonono) Ingekuwaje tuishi kiza bila mwezi duniani ingekuaje(Nonono) Itakuwaje nikikukosa mpenzi nawaza itakuwaje(Nonono) Sitoenda race hata kesi utosikia na sitaki nikukose mmh
#VERSE Wewe apo nitapanda nawe kilimani Mimi apa utashuka nami kilimani Siko radhi kuona unapitia shida Na wakati wote tulichumia juani Tanzania pia nchi yetu ya amani Ata mimi nawe tutaishi kwa amani Kugombana kwenye penzi kawaida ooh baby Mhh
#PRE-CHORUS Deka unavyodeka kama mtoto Nitakubembeleza mimi ni wako oooh Nakusii nitakupa penzi moto moto uuu Mapenzi kupenda sio mchezo oooh #CHORUS Baby Usiende mbali na mimi(mimi bado nakupenda) Usiondoke mbali na mimi(mimi bado nakupenda) Usiende mbali na mimi(mimi bado nakupenda) Usiondoke mbali namimi(mimi bado nakupenda)
#VERSE Nitajenga dunia ya kwetu peke yetu Kivyetu nikaishi mimi na wewe Nita force sasampa kila siku Usiniponyoke nikabaki mwenyewe
#VERSE Umeniteka mateka jambazi ni wewe Mtuhumiwa sina usemi Roho yangu ya kwako na moyo nakupa Sina uwezo wa mamilioni chukuaa Robo saa haitoshi nusu saa Hata masaa hayatoshi kusema na wewe Robo saa haitoshi nusu saa Hata masaa hayatoshi nusu saa aaaa Hata masaa hayatoshi kusema na wewe
#PRE-CHORUS Deka unavyodeka kama mtoto Nitakubembeleza mimi ni wako ooh Nakusii nitakupa penzi moto moto uuh Mapenzi kupendana sio mchezoo ooh #CHORUS Baby usiende mbali na mimi(mimi bado nakupenda) Usiondoke mbali na mimi(mimi bado nakupenda) Usiende mbali na mimi(mimi bado nakupenda) Usiondoke mbali na mimi(Mimi bado nakupenda)
#OUTRO Mtu mbaad