Music: Ambrose Akula Akwabi/Kevin Omondi Okech Lyrics: Fredrick Mulla Ukiniona unanuna unafura huna furaha Mi nazidi nenepa natuna natuna Unapaka vibaya kwa watu mi ni mbaya Wakae mbali nami cha ajabu wanazidi sogea Mwenye roho ya korosho ni nani sasa Kati yangu mimi na wewe mchawi nani sasa
Najua unanichukia lakini inabidi uzoeange Najua hunipendi ukiniona unavimba uzoeange Najua unanichukia lakini ukiniona uzoeange Najua hunipendi ukiniona unavimba uzoeange
Itabidi unizoee nasonga mbele sio nyuma nana Upendo ndio nguzo we yanini vijembe na kufarakana Ila kama unalipwa rupia kuja nisengenya Endelea tuone nani atashinda Mwenye roho ya korosho ni nani sasa Kati yangu mimi na wewe mchawi nani sasa
Najua unanichukia lakini inabidi uzoeange Najua hunipendi ukiniona unavimba uzoeange Najua unanichukia lakini ukiniona uzoeange Najua hunipendi ukiniona unavimba uzoeange
Wewe zidi na wivu wako we Mi nakuombea dua dua Najua hunipendi mwana wa mwenzio Sitachoka kukuombea dua dua na unajua