Lyrics: Mwasiti Almas
Music: Frankin Nchimbi
Amenishika
kanishishishika
mmh eeh eeh
VERSE 1- si mrefu,si mfupi,si mnene,si
mwembamba (nampenda)
Yani ni fundi wa masebene
kaniweza kwa kitanda (nampenda)
Simwachi kama gundi nami
namganda ganda(nampenda)
South Africa,Kenya,Burundi
namtafutia mganga
(Nimuweke ndani)
CHORUS- (amenishishishika,kanishishishika *4)
HOOK
Iko waziwazi,hatuna haja na
mapaparazi
Kanipandisha ngazi anamjua
mjomba na shangazi *2
VERSE 2
my my usije ukaniacha ukasema bye bye
Nakupenda ukinitenga haifai
mimi ni kapuku masikini sikatai
Lakini najituma moja mbili hazikai
natafuta nikipata utafurahi
hata matajiri wanapanda na kushuka
Nguo zinabana wakikonda zitavuka
Leo niko chini kuna siku nitanyanyuka
Vikwazo changamoto nitavivuka
basi babe tabasamu nataka uniliwaze kwa sauti tamtam
nataka wafahamu kwamba mimi nawe sasa hivi damdam
Wanaropoka wakileta ujinga wafukuze toka toka aaah toka
(Repeat Chorus x1)
(Repeat Hook x1)