Lyrics: Mwasiti Almas Music: Frankin Nchimbi Amenishika kanishishishika mmh eeh eeh
VERSE 1- si mrefu,si mfupi,si mnene,si mwembamba (nampenda) Yani ni fundi wa masebene kaniweza kwa kitanda (nampenda) Simwachi kama gundi nami namganda ganda(nampenda) South Africa,Kenya,Burundi namtafutia mganga (Nimuweke ndani)
CHORUS- (amenishishishika,kanishishishika *4)
HOOK Iko waziwazi,hatuna haja na mapaparazi Kanipandisha ngazi anamjua mjomba na shangazi *2
VERSE 2 my my usije ukaniacha ukasema bye bye Nakupenda ukinitenga haifai mimi ni kapuku masikini sikatai Lakini najituma moja mbili hazikai natafuta nikipata utafurahi hata matajiri wanapanda na kushuka Nguo zinabana wakikonda zitavuka Leo niko chini kuna siku nitanyanyuka Vikwazo changamoto nitavivuka basi babe tabasamu nataka uniliwaze kwa sauti tamtam nataka wafahamu kwamba mimi nawe sasa hivi damdam Wanaropoka wakileta ujinga wafukuze toka toka aaah toka
(Repeat Chorus x1)
(Repeat Hook x1)