Lyrics: Baraka Shujaa
Music: Pablo Fernandez
Sawa Sawa, Sawa Sawa
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa, Sawa Sawa
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Kama Kawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Kama Kawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Mziki kwetu haupotei
video zimepanda bei
Siku zote Saka pay
akuna time ya kuslay
Wapambe low wanalay
nawakaba Koo apana sai
Pochi Nene vanny ray
Mawaki wanapave de way
I got the juice sauce
**** Iām on toes/
**** Iām on toes
No time to loose coz
Namala uboss here Rick Rozzay
Mola niepushe nuksi zitoke
game marathon nami kipchoge acha mi nitoke
wanafki wanatana mpaka mi nitoke
Mchezo na mimi kama jicho na kope
Abracadabra kama babu niqqa
Young sawa sawa mi shupavu niqqa
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa, Sawa Sawa
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Kama Kawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Iām so easy easy
Ila mida utanipata nimesizi
Wanafreeze, sababu mi ni jinamizi
My people they know
That Iām keeping it real
Rare kunipata mimi nikikosea
Hawajui mimi nakotokea
Niko focus kamwe siezi potea
Sawa sawa Bas Iām on the air
Rare kunipata mimi nikikosea
Hawajui mimi nakotokea
Niko focus kamwe siezi potea
Siezi potea yeah!
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa, Sawa Sawa
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Kama Kawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa
Sawa Sawa okay, Sawa Sawa all day
Sawa Sawa tunaifanya bila dawa!