Haba Na Haba

Lyrics: Ephine Wasena Music: Ephine Wasena Haba na haba hujaza kibaba Wewe na me ni ka Adam na Hawa Tuko sawa, tuko sawa Mmmh Haba na haba hujaza kibaba Wewe na me ni ka Adam na Hawa Tuko sawa, tuko sawa Mmmh
I like the way you complement me I’m the sugar and the spice, you’re the everything nice You like me darker berry And I like the way you’re calling me cherie
Watu wanakua wabasic sana Wanadai ati si tutaachana Lets go tupange harusi bana Hapa drama hatuna, hapana
Haba na haba hujaza kibaba Wewe na me ni ka Adam na Hawa Tuko sawa, tuko sawa Mmmh Haba na haba hujaza kibaba Wewe na me ni ka Adam na Hawa Tuko sawa, tuko sawa Mmmh
You call me when you miss me You just can never resist me You just want me in the building I be all over your business
Watu wanakua wabasic sana Wanadai ati si tutaachana Lets go tupange harusi bana Hapa drama hatuna, hapana
Haba na haba hujaza kibaba Wewe na me ni ka Adam na Hawa Tuko sawa, tuko sawa Mmmh Haba na haba hujaza kibaba Wewe na me ni ka Adam na Hawa Tuko sawa, tuko sawa Mmmh
Kama C.E.O Na we ndo company Mbio mbio You can put a ring on it Niseme ndio We live happily Tuwafunge sikio Akina nani