Lyrics: Ephine Wasena
Music: Ephine Wasena
Haba na haba hujaza kibaba
Wewe na me ni ka Adam na Hawa
Tuko sawa, tuko sawa
Mmmh
Haba na haba hujaza kibaba
Wewe na me ni ka Adam na Hawa
Tuko sawa, tuko sawa
Mmmh
I like the way you complement me
Iβm the sugar and the spice, youβre the everything nice
You like me darker berry
And I like the way youβre calling me cherie
Watu wanakua wabasic sana
Wanadai ati si tutaachana
Lets go tupange harusi bana
Hapa drama hatuna, hapana
Haba na haba hujaza kibaba
Wewe na me ni ka Adam na Hawa
Tuko sawa, tuko sawa
Mmmh
Haba na haba hujaza kibaba
Wewe na me ni ka Adam na Hawa
Tuko sawa, tuko sawa
Mmmh
You call me when you miss me
You just can never resist me
You just want me in the building
I be all over your business
Watu wanakua wabasic sana
Wanadai ati si tutaachana
Lets go tupange harusi bana
Hapa drama hatuna, hapana
Haba na haba hujaza kibaba
Wewe na me ni ka Adam na Hawa
Tuko sawa, tuko sawa
Mmmh
Haba na haba hujaza kibaba
Wewe na me ni ka Adam na Hawa
Tuko sawa, tuko sawa
Mmmh
Kama C.E.O
Na we ndo company
Mbio mbio
You can put a ring on it
Niseme ndio
We live happily
Tuwafunge sikio
Akina nani