Lyrics: Cleva Junior
Music: Cleva Junior
Lyrics:
Maisha ni kuangaika Kupambana
Mwanaume hasifiwi kula
Ila kazi tu
Yes
Eeeh
(Chorus)
(Japo leo nimekosa
Labda kesho nitapata
Sikati tamaa Nazidi komaa
Kwangu mimi
"Hapa Kazi Tu")×2
(Verse-01)
Maisha yangu Kwa kweli siutani
Hayaeleweki asilani
Ila:
Daily mi nakata rufani
Ipo siku tawini
Ona:
Zege namwaga Maji nabeba nauza
Ili nimake bingo
Mi nina ndoto za kumiliki meli
Japo sina hata Mia mfukoni
Haijalishi nipo wapi mi nakomaa
Jangwani au mwituni sikati tamaa
Napambana napigana
Hapa kazi tu masiala hapana
Sichagui kazi Sibagui kazi
Yoyote halali mi nakomaa nayo
Yeah
Najua ipo siku itafika nitapata
"INSHA-ALLAH"
Takula bata
(Chorus)
(Japo leo nimekosa
Labda kesho nitapata
Sikati tamaa Nazidi komaa
Kwangu mimi
"Hapa Kazi Tu")×2
(Verse-02)
Am the first born Mi ndo kichwa
Mi ndo bodi mi ndo taili
Mi ndo injini
Nimezaliwa mwanaume
Lazima nijitume
Beibi Don't cry usilie
Futa chozi nivumilie
Nipo juani mie just niombee
Kivulini tukatumie
Everybody not only me
Kauli mbiu Iwe tu ni kazi
Wala sio kesi mkiniiga mi
Sote pambana kuichapa kazi
Hata Bakhresa alianza na icecrimu
Ona leo ye alivyojuu
No retreat No surrender
Mdogo mdogo haina kusanda
(Chorus)
(Japo leo nimekosa
Labda kesho nitapata
Sikati tamaa Nazidi komaa
Kwangu mimi
"Hapa Kazi Tu")×2
(Verse-03)
(Japo leo umekosa
Labda kesho utapata
Usikate tamaa We zidi komaa
Kwako wewe
"Iwe Kazi Tu")×2
(Chorus)
(Japo leo nimekosa
Labda kesho nitapata
Sikati tamaa Nazidi komaa
Kwangu mimi
"Hapa Kazi Tu")×2
Yaah
Cleva Junior on the beat
Via Chocolate flavour
In Sharobaro re-Recordz
Hainaga mchawi
BK FULL BOSS
THANK YOU BROTHER
Sure!